Ukurasa wa mbele
Gazeti la injili
Nyimbo za Munishi
Soma barua Yahoo
Soma barua Hotmail
Tuma SMS duniani
Chat room
Sikiliza waongo
Twende kanisani

Rev. Kulola amtimua Mchungaji Arusha.

Study The Bible

Passage (eg. John 3:16):

Search word(s) (eg. saved):

Dar ni Matisho ya Mabomu


Amerika Siyo Mungu

Nation Yasema Kenya Imekosea kutangaza msimamo haraka

Kwa Nini Waislamu wanalalamika?

Nyerere Alishindwa

Wanasiasa ni wezi

Tanzania Siyo ya Mkapa

Maombi Ili Mungu Aiangushe
CCM

Munishi Siyo Mwanasiasa

Mazuri ya Nyerere?

Serikali Zinaogopa Nyimbo za Injili

CCM ni Dini ya mungu Nyerere

Mkapa Atuaibisha waandishi

Kanda ya Injili marufuku TZ

Vita ya Kidini Tanzania

sms Messageshttp://munishi.netfirms.com Tell.254-72-602445
Gazeti La Injili

E-mail: munishifaustin@yahoo.com
Au fmunishi@hotmail.com
sms MessagesGospel tape banned by Dar officials



sms Messages

Moi Aombewa Amalize Vizuri

Rais Daniel Toroitich Arap Moi

Na Mwinjilisti Faustin Munishi

Kanisa la CBC Kenya yaani Christian Brotherhood Church limeanza maombi maalum kumuombea Rais Moi ili amalize ngwe yake vizuri. Pamoja na kumuombea Mheshimiwa Rais kanisa hilo pia litawaombea wakenya kwa ujumla ili wapite katika kipindi hiki cha mpito salama bila umwagikaji wa damu.

Hayo yalitangazwa na askofu mkuu wa kanisa hilo Geofrey Litunya Buliba kwenye makao makuu ya kanisa hilo huko Nakuru. Bishop Buliba aliwataka wakenya kuwa watulivu na kuachana na uvumi kwamba kutatokea machafuko Moi akiondoka madarakani.


Saitoti asikiliza Mausia: Je Moi atamwachia madaraka? kila dalili zinaonyesha hivyo. Tusubiri tu. Mvumolivu hula Mbivu.

"Mungu alitupa Moi baada ya Kenyatta, Bado atatupa mwingine baada ya Moi." "La muhimu ni wakenya tumuombe Mungu kwa bidii ili atupe kiongozi hasa yule anayemcha Mungu." Aliongeza kusema kuwa kila kitu kina wakati wake duniani. Ilimpendeza Mungu tuongozwe na Moi kwa kipindi chote hiki, na sasa ikimpendeza Mungu atatupa kiongozi mwingine.

Askofu Buliba aliwataka wakenya wayatupie macho mazuri ya Moi ambayo ni mengi, kuliko kuyaangalia mabaya yake ambayo ni machache. "Hakuna mwanadamu aliye mkamilifu aukose ubaya katika maisha yake. Na Moi ni mwanadamu kama wale wengine."

Askofu huyo alimaliza kwa kusema: "Tumeanza Maombi ili Mungu atupe kiongozi, lakini hatuombi tupewe malaika ila mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke.Kile tunachotaka ni mcha Mungu ambaye atajirudi haraka akikosa, kuliko yule anayeyatetea makosa kwa kufanya kosa.


Moi Profesa wa siasa za Kenya

Huyo hatumtaki na ndiyo maana tunamuomba Mungu atuangazie mwanga ili tumpate mtumishi wake atutumikie na sisi.Hatutaki mtawala, bali tunamtaka kiongozi.Atuongoze katika kila jambo. Akisema tusiibe, aongoze kwa kutokuiba. Akisema tujihadhari na ukimwi, aongoze kwa mwenendo mwema. Akisema tuwe wasafi, aongoze kwa kuwa msafi wa mwili na mavazi. Akisema tuwasaidie masikini, naye awe anaongoza kutoa ili kuwasaidia wasiojiweza katika jamii. Akisema tufanye kazi kwa bidii, naye awe kielelezo kwa kufanya kazi kwa bidii. Moi aliongoza katika hayo yote ndiyo maana tunakuomba mwingine kama au wa kuzidi Moi, lakini siyo wa kiwango cha chini ya Moi. Alimaliza Askofu huyo.

Kenedy Ochieng : Nina virusi

Moi Aombewa Amalize Vizuri

Read The Bible

FOTOFON - TRANS # KULT

Mwinyi Aliibadili TanzaniaNation TV Yakosa Mwelekeo

"Nisaidieni Nioe"-WACIAMA

Habari Katika picha

Nyerere Aliabudu Shetani?

Siasa na Dini Zitenganishwe?

Waislam Wampora Mkisto Nyumba

Nyerere Msingi aloujenga Haufai Tuubomoe?

Mjue Mwimbaji Kaka Paul

Marandu T.L Ajitoa Kwenye "FORUM"

Mkapa Hatoki Muda Ukiisha

MUNISHI AZINDUA HERALD

Majira Wajaribu Kumzima Munishi?

Professor Oloo Amlaumu Mwinyi

Taliban Wamefanya Kiungu, Amerika walifanya kishetani

Philip Ochieng attacks Mkapa

CUF Kujitoa katika muafaka-

WorldSpace Hawajui Wamlenge Nani

Waziri Iddi Simba Amejiuzulu

Mrema Awapongeza Afghanistan

Dani Hagael Amsaga Askofu

EAGT Dodoma Kunafuka Moshi

Gospel tape banned by Dar officials

New WebSite

Swaleh Mdoe Azimwa KTN

Rodnat Mwenda Ashambulia Munishi

Majambazi Wamvamia Munishi Nyumbani

Rev.Apollo Joo Afariki

Haki za Wanaume

Leo Magazetini

Yesu ni Mungu?

Redio Hizi Hazifai

Imani ni Kusikia

Maoni yako
Your Comments

Injili na Siasa

Mauaji Ya kisiasa Tanzania

Media Africa Mashariki

BBC CNN SKY Marufuku Afrika

Free Translation
Christian
safari.com

gospel
gospelcom
CBN
TBN
CNN
BBC
Times
Islamtz.org
Winners
Maranatha
Intergrity

| http://munishi.netfirms.com |
 
<<Back  |  Home |  Gazeti La Injili | Injili2 | Nyimbo Za Munishi | Next >>